Lyrics of 'Utanipenda' by Diamond Platnumz

If you've been searching for the lyrics of the song Utanipenda by Diamond Platnumz for a long time, start warming up your voice, because you won't be able to stop singing it.

Tanta lala la
Ooh la la la la la
Mmh

Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima TV ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale
Oooh wale shabiki zangu
Walionisifu kwa maneno matamu

Leo maadui zangu
Ni mitusi tu kwa Instagram
Kimwanaa si dada angu
Eti nae hanifahamu
Hata Harmonize nikimpigia
Ananifokea kama Sallam

Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga

Ooh nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Aaah

Ndio adui mkubwa wa kesho
La la la la la la
Au je utanipenda gaa?
Aa La la la la la
Au nawe utanimwagaa?
Aa La la la la la
Ati utanipenda gaa ooh
Oh
Oh

Bado naiwaza sana
Vile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamati
Utadiriki hata japo kunipost
Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi

Oooh jahazi limezama
Mola ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mamaangu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie Sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke

Ey
Na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga (Oh yeh yeh yeh)
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinaga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani

Yani He he he
La la la la la (eh)
(Ola lala la lala)
La la la la la
(Ooh ola la la la)
La la la la la ala
Eeeh

Ola la la lilaa ooh
I say
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke (he he heee)

Eiiii
Ola lala lilaa
Oooh baby
Oooooh

Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho

Play Escuchar "Utanipenda" gratis en Amazon Unlimited

There are many reasons to want to know the lyrics of Utanipenda by Diamond Platnumz.

Knowing what the lyrics of Utanipenda say allows us to put more feeling into the performance.

A very common reason to search for the lyrics of Utanipenda is the fact that you want to know them well because they make you think of a special person or situation.

In case your search for the lyrics of the song Utanipenda by Diamond Platnumz is because it makes you think of someone in particular, we suggest you dedicate it to them somehow, for example, by sending them the link to this website, they'll surely get the hint.

Are you arguing with your partner because you understand different things when you listen to Utanipenda? Having the lyrics of the song Utanipenda by Diamond Platnumz at hand can settle many disputes, and we hope that it will.

Learn the lyrics of the songs you like, like Utanipenda by Diamond Platnumz, whether it's to sing them in the shower, make your covers, dedicate them to someone, or win a bet.