Lyrics of 'Ukimwona' by Diamond Platnumz

Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu
Yashanipiga sasa sinabudi nielewe
Siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu
Japo nishida ila, nitabaki mwenyewe
Ohh ila , mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
Mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu
Na asisikie kisirani, hukumu ya mapenzi mabaya
Hata ungali hai kayruki usingetibu gonjwa langu
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani nasaga rumba (rumba)
Ohh unani dunda dunda
Sema chine tembee moyoo
Unanidunda dunda (mamii moyooo)
Sina amani nasaka rumba (oohh mimii)
Oh unani dunda dunda
Eeh ukimwona
Ukimwona ukimwona
Ukimwona ukimwona
Ukimwona
We nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya
Tena wengi waongo, hawawazi ndanganye
Oya ni mashoga rafiki, oohh marafiki wabaya
Oh mmh
Tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajui
Mpaka akafunga virago, na akaamua kuondoka sitambui
Ubaya, kinacho niumiza, maneno neno maneno
Mara kwa ndugu rafiki, kwanini anawapa misemo
Najaribu papasa, mbona ka macho ataona chochote
iIa ndo kutwa mikasa, na nazidi kuanguka, niokote
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sana amani nasaga rumba (rumba)
Ohh unani dunda dunda
Sema chine tembee moyoo
Unanidunda dunda (mamii moyoo)
Sina amani nasaga rumba (ooohh mimii)
Ohh unani dunda dunda
Eehh ukimwona
Ukimwona ukimwona
Ukimwona ukimwona

Play Escuchar "Ukimwona" gratis en Amazon Unlimited

The most common reason to want to know the lyrics of Ukimwona is that you really like it. Obvious, right?

If your motivation for searching for the lyrics of the song Ukimwona was that you absolutely love it, we hope you can enjoy singing it.

Feel like a star singing the song Ukimwona by Diamond Platnumz, even if your audience is just your two cats.

A very common reason to search for the lyrics of Ukimwona is the fact that you want to know them well because they make you think of a special person or situation.

We hope we have helped you with the lyrics of the song Ukimwona by Diamond Platnumz.

On this page, you have at your disposal hundreds of song lyrics, like Ukimwona by Diamond Platnumz.